Tuesday, September 10, 2013
IMANI
3:40 PM
No comments
IMANI NINI?
1. .Ni kuyasema yasiyokuwako
kana kwamba yamekuwa pasipo shaka moyoni (Warumi 4:17),
2. Ni kutangaza mwisho wa
jambo tangu mwanzo wake pasipo hofu kama afanyavyo Mungu (Isaya 46:9-10),
3. Ni uhakika wa mambo yatarajiwayo,
ni bayana ya mambo yasiyoonekana (Waebrania 11:1),
4. .Ni kuamini kwamba yale
uliyoyaomba kwa Mungu umeyapokea mara tu umalizapo kuomba (Bwana Yesu, Marko
11:23-24),
Chanzo cha Imani
1. .Ni...