This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Tuesday, September 10, 2013

IMANI

IMANI NINI? 1.    .Ni kuyasema yasiyokuwako kana kwamba yamekuwa pasipo shaka moyoni (Warumi 4:17), 2.    Ni kutangaza mwisho wa jambo tangu mwanzo wake pasipo hofu kama afanyavyo Mungu (Isaya 46:9-10), 3.    Ni uhakika wa mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana (Waebrania 11:1), 4.    .Ni kuamini kwamba yale uliyoyaomba kwa Mungu umeyapokea mara tu umalizapo kuomba (Bwana Yesu, Marko 11:23-24), Chanzo cha Imani  1.    .Ni...